Nyumba ya Sanaa
Sam Luhende;mtayarisha muziki anayejivunia kuwang'arisha wasanii wakubwa wa muziki Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 21:16
Sanaa ya utengenezaji na utayarishaji wa muziki si ngeni masikioni mwa waliowengi,leo makala ya nyumba ya sanaa imemtembelea mtayarishaji wa muziki jijini Dar es salaam Sam Luhende,ambaye kazi zake ziliwang'arisha waimbaji kadhaa na kujulikana nje ya mipaka ya Tanzania...