Pata taarifa kuu
Nyumba ya Sanaa

Changamoto na fursa za sanaa na Edwin Semzaba

Imechapishwa:

Edwin Semzaba ni mtanzania mtunzi wa vitabu, mwandishi wa tamthilia na riwaya, muigizaji na mtayarishaji. Pia ni mkufunzi katika Idara ya Sanaa na Maigizo katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, nchini Tanzania. Ushinda tuzo ya kwanza ya waandishi wa Afrika Mashariki iliyotolewa na Taasisi ya Unchunguzi wa Kiswahili, TUKI na pia tuzo ya Ubalozi wa Swiden nchini Tanzania mwaka 2007 na hapa anazungumzia fursa na changamoto zilizopo sasa katika tasnia ya sanaa afrika mashariki na kati.

RFI/Edmond Lwangi Tcheli
Vipindi vingine
  • 20:09
  • 20:03
  • 20:03
  • 20:07
  • 20:10
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.