Edwin Semzaba ni mtanzania mtunzi wa vitabu, mwandishi wa tamthilia na riwaya, muigizaji na mtayarishaji. Pia ni mkufunzi katika Idara ya Sanaa na Maigizo katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, nchini Tanzania. Ushinda tuzo ya kwanza ya waandishi wa Afrika Mashariki iliyotolewa na Taasisi ya Unchunguzi wa Kiswahili, TUKI na pia tuzo ya Ubalozi wa Swiden nchini Tanzania mwaka 2007 na hapa anazungumzia fursa na changamoto zilizopo sasa katika tasnia ya sanaa afrika mashariki na kati.
Vipindi vingine
-
Zanzibar: Fahamu zaidi kuhusu Muziki wa Baibuda katika makala haya
Mwandishi wetu Steven Mumbi amezungumza na msani wa muziki huu wa Baibuda13/04/202420:09 -
Afrobongo na Bruce Africa
Makala haya hukuletea historia ya sanaa na wasani barani Afrika.06/04/202420:03 -
Sanaa ya muziki wa kizazi kipya na Sam Silver
Sam Silver anazungumza naye Steve Mumbi katika makala ya Nyumba ya Sanaa wiki hii.30/03/202420:03 -
Muziki wa Taarab na chid boy mpiga kinanda wa bendi ya nakshi nakshi
Muziki wa Taarab unashehenezwa na mirindimo ya vyombo kwa kisasa sambamba na Kinanda , Kutana na Chid Boy Mpiga kinanda wa Bendi ya Nakshi Nakshi na Mmiliki wa Bendi hiyo.16/03/202420:07 -
Muziki wa kizazi kipya na Kadason kutoka nchini Tanzania
Sanaa ya muziki wa kizazi kipya.09/03/202420:10