Kule Tondiedo, Kwamé anakutana na Clément, mtembezaji wa watalii na mwanafunzi Chuo Kikuu cha Niamey. Anamjua Profesa Omar. Hii inaweza kuwa sehemu ya kuanzia...Jioni kwenye mgahawa, anasikia sauti ambayo si ya kawaida inayomfuata...halafu kule redioni wanazungumzia kutekwa nyara kwa Professa na GIETA, shirika lisilo la serekali linalo dhamini tafiti za profesa. Kwamé, hawaamini.
Vipindi vingine
-
Kwame arudi kwenye kituo cha utafiti,.
Kwame anafurahia kurudi kwenye kituo cha utafiti ambapo Profesa Omar anamwelezea Natalie kuhusu utafiti wake....01/07/201202:42 -
Hatimaye Profesa awa huru,Kwame apongezwa
Hatimaye Prosefa Omar aokolewa,watekaji nyara watiwa nguvuni na Kwame apongezwa na kila mtu kwa ushujaa wake wa kufatilia hadi kufanikisha Profesa Omar anapatikana.24/06/201202:42 -
Polisi yawaweka chini ya ulinzi watekaji nyara kabla ya kumuokoa Profesa Omar...
Profesa anakutwa hoi,Kwame anawashawishi askari polisi kuwatia nguvuni watekaji kabla hawajatoroka au kuwadhuru.17/06/201202:42 -
Kwame na polisi wanafanikiwa kufika katika eneo aliloshikiliwa Profesa Omar
Kwame na polisi wanakubaliana kumtanguliza Kwame mahali aliposhikiliwa Profesa Omar ili kuhakikisha usalama wake kabla ya kumuokoa na kuwatia nguvuni watekaji nyara...10/06/201202:42 -
Kwame afanikiwa kuwashawishi polisi na kuondoka nao..
Safari hii,Polisi wanamzuia Kwame kumpata Profesa Omar akiwa peke yake.Wanampangia njama kali asifanikiwe,lakini anafanikiwa kuwashawishi na kuambatana nao kuelekea katika dimbwi la Garkoe kumwokoa Profesa Omar.....fuatilia03/06/201202:42