Michezo, Tennis
Jo Wilfried Tsonga atamba katika mashindano ya masters 1000
Wiki 6 baada ya ushindi wake mkubwa katika mashindano ya Wimbledon, Jo Wilfried Tsonga amengarisha tena nyota yake kwa kumshinda Roger Federer katika michuano ya Tenis ya Masters 1000 mjini Montreal nchini Canada kwa seti (7-6 [3], 4-6, 6-1), katika robo fainali mfaransa huyo atapambana na Nicolas Almagro aliemuangusha Richard Gasquet kwa seti (7-6 [5], 6-3).
Imechapishwa:
Matangazo ya kibiashara
Upande wake Gaël Monfils mfaransa mwengine huyu ambae alifaanikiwa kumuondowa Viktor Troicki katika mechi ambayo haikuaminika kwa seti (3-6, 7-6, 7-6), Gaël Monfils anaingia robo fainali huko Montréal. Na sasa anakutana na Novak Djokovic.