Majengo zaidi ya 1,300 yameharibiwa katika ukanda wa Gaza
Umoja wa mataifa unasema majengo zaidi ya 1,300 yameharibiwa vibaya zaidi katika ukanda wa Gaza, wakati huu mapigano kati ya wapiganaji wa Hamas na wanajeshi wa Israeli yakiingia wiki moja.
Imechapishwa: