Sikiliza taarifa za habari zilizopita 15h00 - 16h00 TU
Benki ya maendeleo ya Africa, yaonya kuhusu kutumia mali asili kama dhamana kwa mikopo
Imechapishwa:
Cheza - 09:50
Benki ya maendeleo ya Afrika imeonya mataifa ya Afrika dhidi ya kuchukua mikopo kwa kutumia mali asili kama dhamana, benki hiyo ikisema kuwa hatua hii imekuw ana athari kwa uchumi wa mataifa ya Afrika.