Sikiliza taarifa za habari zilizopita 15h00 - 16h00 TU
Senegal : Rasi Sall ariasha uchaguzi mkuu
Imechapishwa:
Cheza - 09:56
Rais wa Senegal mwishoni mwa juma alitangaza kuhairisha uchaguzi mkuu wa tarehe 25 ya mwezi huu kwa kile alichosema ni mzozo kati ya bunge na mahakama ya kikatiba baada ya kuondolewa kwa baadhi ya majina ya wagombea.