Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Rais Museveni amteua mwanae kuwa mkuu wa majeshi, kifo cha okende kilipangwa

Imechapishwa:

Makala hii imeangazia hatua ya rais wa Uganda Yoweri Museveni ya kumteua mwanawe kuwa mkuu wa majeshi ya nchi hiyo, mazishi ya mwanasiasa Cherubin Okende, yaliyojiri nchini Rwanda, lakini pia Sudan huko ambako wiki hii Marekani ilisema kuwa ina matumaini mazungumzo ya kumaliza mzozo wa nchi hiyo yatarejea hivi karibuni baada ya mfungo wa Ramadan, uchaguzi wa urais huko Senegal jumapili ya Marchi 24 tumeangazia yaliyojiri huko Israeli na kwengineko duniani. Ungana nami Reuben Lukumbuka

Picha ya faili ya Jenerali Muhoozi Kainerugaba wa Uganda, mtoto wa Rais Yoweri Museveni,-iliyotumwa kwenye mtandao wa kijamii
Picha ya faili ya Jenerali Muhoozi Kainerugaba wa Uganda, mtoto wa Rais Yoweri Museveni,-iliyotumwa kwenye mtandao wa kijamii AFP - PETER BUSOMOKE
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.