Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Watu 60 wauawa DRC, chanjo ya Malaria yaidhinishwa Ghana, nyaraka za siri za Marekani zavuja

Imechapishwa:

Kwenye makala haya, tutakayoangazia wiki hii ni pamoja na upinzani nchini Kenya kusema utaendelea na maandamano huku wafanyakazi wa umma wakikosa kulipwa, tutaangazia usalama nchini DRC na uchaguzi unaotarajiwa mwishoni mwa mwaka huu. Chad na Ujerumani kuwafukuza mabalozi wake, kadhalika kuvuja kwa nyaraka za siri nchini Marekani na Korea kaskazini kutishia usalama wa kikanda.

Picha ya Jack Douglas Teixeira, anayeshukiwa kuwa chanzo cha nyaraka za siri za Jeshi la Marekani zilizovuja.
Picha ya Jack Douglas Teixeira, anayeshukiwa kuwa chanzo cha nyaraka za siri za Jeshi la Marekani zilizovuja. via REUTERS - SOCIAL MEDIA WEBSITE
Matangazo ya kibiashara
Makamanda wa kundi lenye silaha la URDPC/CODECO, Januari 13, 2022
Makamanda wa kundi lenye silaha la URDPC/CODECO, Januari 13, 2022 AFP - ALEXIS HUGUET

Zaidi ya raia 60 wameuawa katika mashambulizi mapya ya vijiji vitano mkoani Ituri, waasi wa CODECO na makundi ya kikabila ya Zaire wakituhumiwa kuhusika na mauaji hayo. Kwa mengi zaidi, sikiliza makala haya.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.