Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Odinga atinga mahakamani kupinga ushindi wa Ruto, Monusco yakataliwa DRC
Imechapishwa:
Cheza - 20:20
Makala hii imeangazia kuhusu kiongozi wa muungano wa Azimio Raila Odinga alivyowasilisha kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi uliompa ushindi William Ruto na kuwa rais mteule nchini Kenya, mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola huko DRC, muungano wa mashirika ya kiraia yalitangaza kusitisha ushirikiano wao na MONUSCO, Ziara ya rais wa Ufaransa Emmzanuel Macron nchini Algeria, zoezi la sensa lilizinduliwa nchini Tanzania, pia siasa za Marekani, Ukraine na kwengineko duniani.