Pata taarifa kuu
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Kilimo katika maeneo kame

Imechapishwa:

Makala ya Mazingira leo Dunia yako Keshi, juma hili imeangazia namna wakazi wa kwenye maeneo yenye ukame nchini Kenya, wameweza kutafuta njia mbadala ya kufanya kilimo kwenye maeneo yao pamoja na kutumia nishati jadidifu kwa umwagiliaji.

Kenya, Turkana
Kenya, Turkana AFP - LUIS TATO
Vipindi vingine
  • 10:12
  • 10:10
  • 10:03
  • 09:59
  • 10:09
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.