Makala ya Mazingira leo Dunia yako Keshi, juma hili imeangazia namna wakazi wa kwenye maeneo yenye ukame nchini Kenya, wameweza kutafuta njia mbadala ya kufanya kilimo kwenye maeneo yao pamoja na kutumia nishati jadidifu kwa umwagiliaji.
Vipindi vingine