Tunaangazia Kifo cha kiongozi wa Wagner Yevgeny Prigozhin kutokana na ajali ya ndege ambacho kimezua maswali mengi likiwemo suala la ulipizaji kisasi kutoka kwa rais wa Urusi Vladmir Putin miezi miwili tu baada ya uasi wa muda mfupi.Tumemuuliza msikilizaji ikiwa anafikiri kifo chake kilikuwa ajali ya kawaida ama uhalifu ?Kifo chake kinaathiri vipi shughuli za Wagner barani Afrika ?
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13