Habari RFI-Ki
Upinzani umetishia kuishtaki serikali ya Kenya kwa ukatili wa polisi wakati wa maandamano
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Kenya imeshtumiwa kwa kosa la polisi kutumia nguvu kupitiliza kuwadhibiti waandamanaji waliokuwa wakiandamana kupinga kupanda gharama ya maisha