Habari RFI-Ki
Pande hasimu nchini Sudan zakubaliana kusitisha mapigano kwa mara nyingine
Imechapishwa:
Cheza - 09:54
Pande hasimu nchini Sudan zakubaliana kusitisha mapigano kwa mara nyingine, ili kutoa nafasi kwa misaada kuwafikia waathiriwa, wakati huu pia Marekani na Saudi Arebei yakiendeleza mazungumzo ya upatanisho.