Habari RFI-Ki
Maoni ya waskilizaji kuhusu hatuwa ya kuzimwa internet kwa ajili ya kudhibiti maandamano
Imechapishwa:
Cheza - 09:52
Nigeria, Afrika ya Kati, Sudan, na hivi karibuni Senegal... nchi mbalimbali za Afrika, zilifunga mitandao ya kijamii na intaneti, ili kudhibiti maandamano.Unadhani Kuzima mitandao ya kijamii kunaweza kusitisha maandamano katika mataifa yetu?Je, Kuzima mitandao ya kijamii ni ukiukwaji wa uhuru wa kimsingi wa raia ?