Tukio la juma hili la ubaguzi wa rangi dhidi ya mchezaji wa Real Madrid ya Uhispania na timu ya taifa ya Brazil, Vinicius Junior, limeamsha hisia kali, wadau wakitaka hatua kali kuchukuliwa. Tayari watu kadhaa wamekamatwa.Msikilizaji Unafaikiri nini suluhu ili kukomesha matukio kama haya kwenye michezo?FIFA inapaswa kufanya nini kuhakikisha sheria zilizoko zinafanya kazi? Kupata majibu ya maswali haya ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka akizungumza na wasikilizaji
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13