Habari RFI-Ki
Tanzania yafuta sherehe za Uhuru, fedha zitumike kwa maendeleo
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Kwenye Makala habari rafiki Jumatano hii tunaangazia hatua ya rais wa Tanzania Samia Suluhu kuahirisha sherehe ya muungano ya tarehe 26 mwezi huu, kwa lengo la kuokoa fedha ili zitumike kwenye miradi ya maendeleo.