Kinara wa upinzani nchini Kenya Odinga aitisha maandamano jumatatu marchi 20
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Nchini Kenya kinara wa upinzani Raila Odinga, ameitisha maandamano kuishinikiza serikali ya rais William Ruto kulishughulikia swala la mfumuko wa bei linaonekana kuwa mzigo kwa raia wa Kenya. Unadhani hatua hii ya upinzani itasaidia kulishugulikia swala la mfumuko wa bei? Hapo kwenu serikali inafanya nini kutatua swala la mfumuko wa bei?
Nchini Kenya kinara wa upinzani Raila Odinga, ameitisha maandamano kuishinikiza serikali ya rais William Ruto kulishughulikia swala la mfumuko wa bei linaonekana kuwa mzigo kwa raia wa Kenya. Unadhani hatua hii ya upinzani itasaidia kulishugulikia swala la mfumuko wa bei? Hapo kwenu serikali inafanya nini kutatua swala la mfumuko wa bei?