Mchezaji wa soka kutoka Argentina, anayechezea klabu ya Paris Saint Germain Lionell Messi ameshinda tuzo ya Ballon d'Or mwaka huu, tuzo inayotolewa nchini Ufaransa . Hii ni tuzo yake ya saba.Aliwashinda wachezaji wenzake Robert Lewandowski na Jorginho.Nini maoni yako kuhusu hili?
Vipindi vingine
-
Methodone kupambana na Ukimwi miongoni mwa watu wanaotumia dawa za kulevya
Kenya imeanza matumizi ya methadone kuwasaidia waraibu wa dawa za kulevya kupambana na Ukimwi03/05/202408:40 -
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13 -
10:00