Habari RFI-Ki
Waskilizaji wana maoni gani kuhusu Bobi Wine kuitisha maandamano Uganda?
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Aliyekuwa mgombea urais nchini Uganda Robert Kygulanyi maarafu kama Bobi Wine ameitisha maandamano ya amani nchini humo, Kupinga kile anachosema ni wizi wa kura uliofanywa na tume ya uchaguzi.Je nini maoni yako kuhusiana na hatua hii, unahisi ni hatua sahihi kuchukuliwa na Bobi Wine ?