Pata taarifa kuu
Changu Chako, Chako Changu

Sehemu ya tatu ya Makala kuhusu kongamano la nne la idhaa za Kiswahili duniani

Imechapishwa:

Ni Jumapili nyingine tunakutana katika Makala Changu Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, Utamaduni, le parler francophone na Muziki, leo ninakuletea mazungumzo kuhusu ubidhaishaji wa lugha ya kiswahili, ikiwa ni kauli mbiu ya kongamano la nne za idhaa za Kiswahili Duniani lililofanyika mkoani Mbeya Mwezi Machi. Na kwenye le parler francophone nitakuletea mradi wa Creation Afrika unaonadaliwa na Allliance francaise ya Nairobi

Kongamano la nne la idhaa za Kiswahili duniani Mbeya Tanzania
Kongamano la nne la idhaa za Kiswahili duniani Mbeya Tanzania © @billy_bilali
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.