Nyumba ya Sanaa
Afande Ezekiel Abernego Kyogo katika sanaa ya muziki, filamu na utunzi wa vitabu
Imechapishwa:
Cheza - 19:59
Karibu katika makala ya Nyumba ya Sanaa na hii leo tunaye Afisa wa polisi, Afande Ezeckiel Abernego Kyogo ambaye pia ni msanii wa sanaa ya muziki, filamu na mtunzi wa vitabu kikiwemo kitabu cha "Fadhila ya Mfadhiliwa" kutoka nchini Tanzania. Ungana naye Edmond Lwangi Tcheli kufahamu zaidi kuhusu sanaa ya afisaa huyu wa Polisi nchini Tanzania.