Mjadala wa Wiki
Uchaguzi wa Mkuu wa Tume ya Umoja wa Afrika AU uliomchagua Nkosazana Dlamini-Zuma
Imechapishwa:
Cheza - 10:59
Makala ya Mjadala Wa Wiki inatupia jicho kuchaguliwa kwa Nkosazana Dlamini-Zuma kuwa Mkuu wa Tume ya Umoja wa Afrika AU akichukua nafasi ya Jean Ping ambaye alishindwa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi uliofanyika Addis Ababa, Ethiopia. Wageni wetu ni Profesa Larry Gumbe Mchambuzi wa Siasa nchini Kenya na Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Diplomasia nchini Tanzania Abdallah Majura.