Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini Riek Machar, anatarajiwa kurejea katika nafasi yake ya awali ya Makamu wa kwanza wa rais, baada ya mazungumzo ya hivi karibuni kufanyika katika Ikulu ya Entebbe nchini Uganda. Je, amani ya kudumu inarejea nchini Sudan Kusini kwa hatua hii ?
Vipindi vingine
-
Methodone kupambana na Ukimwi miongoni mwa watu wanaotumia dawa za kulevya
Kenya imeanza matumizi ya methadone kuwasaidia waraibu wa dawa za kulevya kupambana na Ukimwi03/05/202408:40 -
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13 -
10:00