Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Kufungwa kwa mahakama za kijadi za 'Gacaca' nchini Rwanda

Imechapishwa:

Mtangazaji wa makala haya hii leo ameangazia hatua ya nchi ya Rwanda kutangaza rasmi kuzifunga mahakama za kijadi za 'Gacaca' ambazo zilikuwa zinasikiliza kesi za watuhumiwa wa mauaji ya halaiki yaliyotokea nchini Rwanda mwaka 1994.

Susan Schulman/Getty Images
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.