Nini sababu za ongezeko la ajali nchini Kenya na takwimu zinasemaje
Nairobi – Ukanda wa Afrika huchangia asilimia 26.6 ya vifo vinavyohusishwa na ajali za barabara
Imechapishwa:
Cheza - 02:46
Matangazo ya kibiashara
Licha ya kuwa Afrika huchangia asilimia moja ya usajili wa magari ,ajali nyingi za barabara hutokea katika nchi za barabara
Shirika la afya duniani linahofu kuwa watu wenye umri mdogo kati ya umri wa miaka mitano na miaka 29 ndio wanaopoteza maisha zaidi katika ajali za barabara
Asilimia 80 ya ajali hizo zinasababishwa na tabia zembe za madereva na watumizi wengi wa barabara ,swala la afya ya akili likionekana pia kuwa swala mtambuka
Carol Korir amezungumza na Samuel Musumba kuhusu hali hii