USALAMA-ULINZI
Mashambulizi makali katikati mwa jimbo la Plateau nchini Nigeria yaua takriban watu 160
Idadi ya watu katika ghasia za wikendi katika Jimbo la Plateau nchini Nigeria imeendelea kuongezeka. Jumatatu jioni, Desemba 25, mamlaka katika jimbo hili katikati mwa nchi iMEripoti vifo vya angalau watu 160, waathirika wa mashambulizi yaliyofanywa katika wilaya tatu: Mangu, Bokkos na Barkin-Ladi.
Imechapishwa: