Harakati za chama cha upinzani nchini Kenya
NAIROBI – Makala haya ya Wimbi la siasa, juma hili tunapigia darubini siasa za upinzani zinazoendelezwa nchini Kenya. Juma lililopita, kinara wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, alitangaza kuitisha maandamano ya nchi nzima ndani ya siku 14 zijazo, ikiwa matakwa ya muungano wao wa Azimio hayatatekelezwa ikiwemo kushusha gharama ya maisha kwa raia.
Imechapishwa:
Cheza - 09:54