DRC- USALAMA
DRC: Raia wameandamana kupinga uwepo wa vikosi vya EAC
Raia kwenye jimbo la Kivu Kaskazini, hivi leo wameandamana kuitikia mwito wa asasi za kiraia, kupinga uwepo wa vikosi vya Jumuiya ya Afrika Mashariki, ambavyo wanasema vimeshindwa kudhibiti usalama, mashariki mwa nchi hiyo.Kutoka Bukavu, mwanahabri wetu William Basimike, ametutumia ripoti ifuatayo…
Imechapishwa:
Cheza - 01:23