DRC: ZIARA YA PAPA FRANCIS
Hisia Mseto kuhusu zaira ya papa Francis nchni DRC
Msikilizaji wakati huu kiongozi wa kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, akianza ziara nchini DRC, raia kwenye eneo la mashariki wamekuwa na hisia mseto kuhusu ziara yake, baadhi wakitaka ashinikize kupatikana kwa amani ya kudumu kwenye eneo hilo.Mwandishi wetu wa Beni, Erickson Luhembwe, alizungumza na baadhi ya raia hao…
Imechapishwa:
Cheza - 00:50