DRC- USALAMA
DRC: Watu 10 wauawa wakiewemo wapiganaji waasi Mashariki wa nchi
Mashariki mwa DRC, Watu 10 wameuawa wakiewemo wapiganaji waasi wanne katika mashambulio yaliyolenga vijiji 4 kikiwemo kile cha OFAY hapo jana, umbali wa kilometa 100 kusini mwa jiji la Bunia mkowani ituri, Duru za usalama zikiwatuhumu waasi wa ADF kuhusika.Kutoka Beni, mwandishi wetu Erickson Luhembwe, ametutumia ripoti ifuatayo….
Imechapishwa:
Cheza - 01:10