DRC- SIASA- UCHAGUZI
DRC: Awamu ya pili ya kuwaandikisha wapiga kura yazinduliwa Lubumbashi
Nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, awamu ya pili ya zoezi la kuwaandikisha wapiga kura, limezinduliwa mjini Lubumbashi, kuelekea uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwezi Desemba, ambao tume ya uchaguzi CENI inasema utafanyika kama ilivyopangwa.Mwandishi wetu Denise Maheho ametuma ripoti hii
Imechapishwa:
Cheza - 01:24