UFARANSA- AFRIKA MAGHARIBI
Ziara ya rais wa Ufaransa Emmanuel Macron nchini Guinea Bissau
Nchi ya Guinea Bissau, ambayo ni mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya ECOWAS, imesema utawala wa Guinea huenda ukapunguza kipindi cha mpito kutoka miaka mitatu hadi miwili.Rais wa Guinea Bissau Umaro Embalo, amesema haya wakati wa mkutano Wake na rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron.Mwandishi wetu Ruben Lukumbuka anataarifa Zaidi.........
Imechapishwa:
Cheza - 01:59