Wakuu wa nchi za Afrika, wamekutana jijini Kigali nchini Rwanda kutia saini mkataba wa kuwezesha biashara huru na soko la pamoja.Je, hatua hii inamaanisha nini ? Tunajadili.
Wakuu wa nchi za Afrika, wamekutana jijini Kigali nchini Rwanda kutia saini mkataba wa kuwezesha biashara huru na soko la pamoja.Je, hatua hii inamaanisha nini ? Tunajadili.