Habari RFI-Ki
Hatimaye Morocco yakubaliwa kujiunga katika Umoja wa Afrika AU
Imechapishwa:
Cheza - 09:44
Hatimaye Morocco imekubaliwa kujiunga na nchi wanachama wa Umoja wa Afrika.Marais na viongozi wa serikali 39 kati ya 54 wanachama wa Umoja wa afrika walipiga kura ya ndio kwa Morocco kujiunga upya na AU huku wengine wakisusa.Morocco ilijiondoa kwenye umoja wa Afrika miaka 30 iliyopita baada ya umoja huo kulitambua eneo la Sahara magharibi kama eneo huru.