katika makala haya utasikia maoni ya wasikilizaji kuhusu makubaliano yaliyofikiwa na vyama vinavyo muunga mkono rais Joseph Kabila wa DRC na upinzani unaoshiriki mazungumzo ya kitaifa chini ya upatanishi wa mjumbe wa Umoja wa Afrika Edem Kojo , kuhusu usimamizi wa nchi baada ya muhula wa pili wa rais Kabila kutamatika Desemba 20 na tarehe mpya ya uchaguzi, karibu
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13