Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Mkutano wa wakuu wa nchi za G7 na mvutano wao na rais wa Marekani

Imechapishwa:

Makala haya juma hili inaangazia changamoto zilizojitokeza wakati wa mkutano wa wakuu wa nchi 7a zenye nguvu ya kiuchumi duniani waliokutana nchini Canada, ambapo walivutana pakubwa na rais wa Marekano Donald Trump aliyetangaza kuongeza tozo kwenye bidhaa za chuma na Alminium.

Waziri mkuu wa Canada, Justin Trudeau na viongozi wengine wa G7
Waziri mkuu wa Canada, Justin Trudeau na viongozi wengine wa G7 REUTERS
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.