Gurudumu la Uchumi
Mjadala kuhusu tatizo la Ajira kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati Sehemu ya pili
Imechapishwa:
Cheza - 10:06
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inakuletea sehemu ya pili ya mjadala kuhusu tatizo la ajira kwa vijana kwenye nchi za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.