Gurudumu la Uchumi
Ripoti Kuhusu Tatizo la Ajira kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati
Imechapishwa:
Cheza - 09:16
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili imeangazia tatizo la ajira katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kati na namna gani Serikali zinapaswa kulishughulikia tatizo hili.