Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Athari za matumizi ya dola na ukuaji wa uchumi

Imechapishwa:

Mtangazaji wa makala haya juma hili anaangazia hatua ya Tanzania kutangaza udhibiti wa matumizi ya dola katika manunuzi ya ndani isipokuwa kwa wageni, mtaalamu wa masuala ya uchumi anafafanua ikiwa matumizi ya dola yanaathari kwa uchumi.

Noti ya dola
Noti ya dola REUTERS/Athit Perawongmetha/File Photo
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.