Gurudumu la Uchumi
Mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika na hali ya uchumi wa bara lao
Imechapishwa:
Cheza - 09:36
Mtangazaji wa makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inaangazia mkutano wa wakuu wa nchi na masuala waliyokubaliana katika kuimarisha uchumi wa bara la Afrika na kuwa lenye ushindani na nchi zilizoendelea.