Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Matarajio ya kiuchumi kwa nchi za Rwanda na Kenya baada ya uchaguzi unaokuja

Imechapishwa:

Makala ya Gurudumu la uchumi juma hili inaangazia harakati za kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa nchini Kenya wa Agosti 8 na ule wa nchini Rwanda wa Agosti 4, nini kitarajiwe kwa viongozi wanaokuja na hali ya uchumi ya wananchi?

Masanduku ya kupigia kura
Masanduku ya kupigia kura Β© REUTERS/Siegfried Modola
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.