Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Ufaransa watakavyomkumbuka Fraoncois Hollande

Imechapishwa:

Francois Hollande aliyekua rais wa Ufaransa amemaliza muda wake na kuiaga Ikulu ya Ufaransa na kumwachia kijiti Rais mpya Emmanuel Macron ambaye sasa anachkua usukani wa kuiongoza nchi hiyo. Pamoja na kuondoka kwake Francois Hollande historia ya nchi hiyo itamweka katika kumbukumbu. Je rais huyo wa mstaafu atakumbukwa kwa yapi? Fuatilia Makala haya ya Wimbi la Siasa na Victor Robert Wile kupata undani wa mada hivyo. 

Rais mpya wa Ufaransa Emmanuel Macron akiagana na François Hollande aliyemaliza muda wake
Rais mpya wa Ufaransa Emmanuel Macron akiagana na François Hollande aliyemaliza muda wake REUTERS/Yoan Valat/Pool
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.