Gurudumu la Uchumi
Ziara ya Mfalme wa Morocco nchini Tanzania na kwenye nchi za ukanda
Imechapishwa:
Cheza - 09:40
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili, inaangazia ziara ya Mfalme Mohammed wa sita wa Morocco, aliyoifanya kwenye nchi za Rwanda, Tanzania na Ethiopia. Je, ziara hii ina manufaa gani kiuchumi kwa ukanda, na je, ni kweli ni mbinu ya Morocco kutafuta uungwaji mkono ili irejeshwe kwenye umoja wa Afrika?