Eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC hususan Beni bado likabiliwa na tishio la usalama kufuatia kuibuka kwa mauaji ya mara kwa mara wakati huu Rais wa DRC Joseph Kabila akitembelea eneo hilo. Makala ya Wimbi la Siasa kwa juma hili inaangazia kwa kina hali ya mambo mashariki karibu umakinike na Victor Robert Wile katika makala haya.
Vipindi vingine
-
Burundi: Mgawanyiko kwenye chama kikuu cha upinzani CNL
Nchini Burundi, chama kikuu cha upinzani cha CNL kinashuhudia mgawanyiko baada ya kiongozi wake Agathon Rwasa kuondolewa kwenye nafasi kiongozi wa chama.Hii ilitokea wakati Rwasa akiwa ziarani nchini Kenya.Nini hatima ya kisiasa ya Rwasa ?Tunazungumza naye lakini pia Mali Ali mchambuzi wa siasa za Burundi akiwa jijini Paris.13/03/202410:22 -
Uongozi wa rais wa Sudan Kusini Salva Kiir katika jumuiya ya Afrika Mashariki
Rais Salva Kiir amekuwa ziarani Rwanda na Burundi kuangazia swala la usalama28/02/202410:14 -
Wabunge nchini Tanzania wapitisha mageuzi ya sheria za uchaguzi
Wiki iliyopita, wabunge nchini Tanzania, walipitisha miswada mitatu ya sheria ya uchaguzi kuelekea uchaguzi mkuu mwaka ujao. Tume ya uchaguzi itabadilishwa jina na sasa itafahamika kama Tume huru ya taifa ya Uchaguzi. Mwenyekiti wa Tume na Makamu wake, watateuliwa na rais baada ya kupokea majina matatu kutoka kwenye Kamati ya usaili.Chama kikuu cha upinzani, CHADEMA kinapinga mabadiliko hayo.07/02/202409:40 -
Matarajio ya wakongo baada ya kuapishwa kwa rais Félix Tshisekedi
Wimbi la siasa imeangazia fursa iliyopo kidiplomasia kwa rais wa DRC Felix Thisekedi aliyeapishwa Jumamosi iliyopita, kuongoza nchi hiyo kwa muhula wa pili.DR Congo, imekuwa kwenye mvutano wa kidiplomasia na Rwanda, kwa madai kuwa Kigali inawaunga mkono waasi wa M23 eneo la mashariki. Ruben Lukumbuka amewaalika Francois Alwende, mtaalamu wa siasa za DRC akiwa jijini Nairobi pia Guerschome Kahebe pia ni mchambuzi wa siasa akiwa Jijini Washington nchini Marekani.24/01/202410:11 -
Mvutano kati ya ofisi ya rais nchini Kenya na idara ya mahakama
Rais wa Kenya William Ruto, ameingia kwenye mvutano na idara ya Mahakama. Ruto anasema Mahakama imejawa na Majaji mafisadi, wanaopindisha haki na kukwamisha miradi za serikali. Jaji Mkuu Martha Koome amekanusha madai hayo. Nini hatima ya mvutano huu ?17/01/202410:04