Jukwaa la Michezo
Fainali za Afrika 2021 kuchezwa mwezi Januari hadi Februari
Imechapishwa:
Cheza - 24:21
Shirikisho la kandanda Afrika CAF wiki hii lilitangaza kubadili ratiba ya fainali za Afrika za mwaka 2021 zitakazochezwa nchini cameroon kutoka Juni hadi Januari. Uamuzi huu una tija? Ungana na Fredrick Nwaka akiwa na wachambuzi wa soka Bonface Osano na Samwel John kutathimini kwa kina.