Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Fainali za Afrika 2021 kuchezwa mwezi Januari hadi Februari

Imechapishwa:

Shirikisho la kandanda Afrika CAF wiki hii lilitangaza kubadili ratiba ya fainali za Afrika za mwaka 2021 zitakazochezwa nchini cameroon kutoka Juni hadi Januari. Uamuzi huu una tija? Ungana na Fredrick Nwaka akiwa na wachambuzi wa soka Bonface Osano na Samwel John kutathimini kwa kina.

Uwanja wa Ahmadou Ahidjom mojawapo ya viwanja vitakavyoandaa fainali za Afrika za 2021
Uwanja wa Ahmadou Ahidjom mojawapo ya viwanja vitakavyoandaa fainali za Afrika za 2021 wikipedia
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.