Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Michezo ya kufuzu fainali za Afrika zaendelea kurindima

Imechapishwa:

Michuano ya kuwania kufuzu fainali za Afrika imekuwa ikichezwa katika viwanja mbalimbali barani Afrika huku Uganda iking'ara, nayo Kenya ikitaraji kuipokea Togo mjini Nairobi. Ungana na Victor Abuso na Fredrick Nwaka viwanjani.

Mshambuliaji wa Kenya, Michael Olunga anatazamiwa kuiongoza Kenya kuchuana na Togo Jumatatu Novemba 18
Mshambuliaji wa Kenya, Michael Olunga anatazamiwa kuiongoza Kenya kuchuana na Togo Jumatatu Novemba 18 goal.com
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.