Jukwaa la Michezo
Tanzania yaiondoa Kenya kwenye michuano ya kufuzu fainali ya CHAN 2020
Imechapishwa:
Cheza - 22:39
Tanzania itacheza na Sudan katika hatua ya mwisho, kufuzu katika fainali ya michuano ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza soka nyumbani, maarufu kama CHAN mwaka 2020 nchini Cameroon. Taifa Stars iliifunga Harambee Stars mabao 4-1 kupitia mikwaju ya penalti baada ya mechi hiyo kutofungana, katika uwanja wa Kimataifa wa Kasarani jijini Nairobi.