Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Misri na Afrika Kusini zawasilisha maombi ya kuandaa fainali za Afrika, 2019

Imechapishwa:

Mataifa ya Misri na Afrika Kusini yamewasilisha maombi ya kuandaa fainali za Afrika za mwaka 2019 ambazo awali zilipangwa kufanyika nchini Cameroon. Nchi mwenyeji itatangazwa Januari 9, 2019. Fredrick Nwaka ameungana na mcvhambuzi wa soka Samwel John kutathimni kwa kina.

Rais wa Shirikisho la kandanda barani Afrika (CAF) Ahmad Ahmad
Rais wa Shirikisho la kandanda barani Afrika (CAF) Ahmad Ahmad CAF
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.