Pata taarifa kuu
CAF-SOKA-AFRIKA

CAF yatangaza orodha ya wanamichezoi watakaowania tuzo, 2018

Shirikisho la kandanda barani Afrika CAF limetangaza orodha ya wanamichezo watakaowania tuzo kwa mwaka 2018. 

Nyota wa Liverpool na Misri, Mohammed Salah alinyakua tuzo ya mchezaji bora wa Afrika mwaka jana
Nyota wa Liverpool na Misri, Mohammed Salah alinyakua tuzo ya mchezaji bora wa Afrika mwaka jana REUTERS/Andrew Yates
Matangazo ya kibiashara

Tuzo hizo zinatazamiwa kutolewa mapema mwakani na zimegawanywa katika vipengele mbalimbali, ikiwemo mchezaji bora wa kiume, mwanasoka bora wa kike, kocha bora wa kiume na mwanamke na vilevile tuzo ya mchezaji bora chipukizi.

Orodha kamili ni kama ifuatavyo.

Timu bora ya wanawake Afrika

Cameroon

Ghana

Mali

Afrika Kusini

Nigeria

Timu bora ya wanaume

Guinea Bissau

Kenya

Madagascar

Mauritania

Uganda

Zimbabwe

Kocha bora wa wanawake

Bruce Mwape wa Zambia

Joseph Ndoko wa cameroon

Desiree Ellis wa Afrika Kusini

Saloum Houssein wa Mali

Thomas Dennerby wa Nigeria

Kocha bora wa mwaka kwa upande wa wanaume

Florent Ibenge wa AS Vita na DRC

Herve Renard wa Morocco

Alliou Cisse wa Senegal

Gernot Rohr wa Nigeria

Richard Tousi wa ES Setif

Patrice Cartelony wa Al Ahly

Nicolasu Dupius wa Madagascar

Mouine Chaban wa Esperance

Juan Carlos Garrido wa Raja Club Athletic

Corentin Martins wa Mauritania

Mchezaji bora kijana wa mwaka 2018

Achraf Hakimi (Morocco & Borussia Dortmunmd)

Wilfred Ndidi (Nigeria & Leicester City)

Andre Onana (Cameroon & Aax)

Ismaila Sarr (Senegal & Rennes)

Mahmoud Benhalib (Morocco & Raja Club Athletic)

Franck Kessie (Cote d’Ivoire & AC Milan)

Tuzo ya mchezaji bora kwa upande wa wanawake

Abdulai Mukarama(Ghana& Northern Ladies)

Asisat Oshoala (Nigeria& Dilian Quanjian)

Bassira Toure (Mali & AS Mande)

Chrestinah Thembi Kgatlana(South Africa& Houston Dash)

Desire Oparanozia(Nigeria& Guingamp)

Elizabeth Addo(Ghana& Seattle Reign)

Francisca Ordega (Nigeria&Washington Spirit)

Gabrielle Aboudi Onguene(Cameroon& CSKA Moskow)

Gaelle Enganamouit (Cameroon& Avaldenes)

Janine Van Wyk (South Africa& Houston Dash

Marlyse Ngo Ndoumbouk (Cameroon& Nancy-Lorraine)

Onome Ebi(Nigeria& Hekan Huisanhang)

Portia Boakye(Ghana& Djurgardens)

Raissa Feudjio (Cameroon& Aland United)

Tabitha Chawinga(Malawi& Jiangsu Suning)

Tuzo ya mchezaji bora kwa upande wa wanaume

Abdelmoumene Djabou (Algeria & ES Setif)

Ahmed Gomaa (Egypt & El Masry)

Ahmed Musa (Nigeria & Al-Nassr )

Alex Iwobi (Nigeria & Arsenal)

Andre Onana (Cameroon & Ajax)

Anis Badri (Tunisia & Esperance)

Ayoub El Kaabi (Morocco & Hebei China Fortune)

Ben Malango (DR Congo & TP Mazembe)

Denis Onyango (Uganda & Mamelodi Sundowns)

Fanev Andriatsima (Madagascar & Clermont Foot)

Franck Kom (Cameroon & Esperance)

Jacinto Muondo Dala ‘Gelson’

(Angola & Primeiro de Agosto)

Hakim Ziyech (Morocco & Ajax)

Idrissa Gueye (Senegal & Everton)

Ismail Haddad (Morocco & Wydad Athletic Club)

Jea-Marc Makusu Mundele (DR Congo & AS Vita)

Kalidou Koulibaly (Senegal & Napoli)

Mahmoud Benhalib (Morocco & Raja Club Athletic)

Mehdi Benatia (Morocco & Juventus)

Mohamed Salah (Egypt & Liverpool)

Moussa Marega (Mali & Porto)

Naby Keita (Guinea & Liverpool)

Odion Ighalo (Nigeria & Changchun Yatai, Nigeria)

Percy Tau (Afrika Kusini & Union Saint-Gilloise)

Pierre-Emerick Aubameyang (Gabon & Arsenal)

Riyad Mahrez (Algeria & Manchester City)

Sadio Mane (Senegal & Liverpool)

Taha Khenissi (Tunisia & Esperance)

Thomas Partey (Ghana & Atletico Madrid)

Wahbi Khazri (Tunisia & Saint-Étienne)

Walid Soliman (Egypt & Ahly)

Wilfried Zaha (Cote d’Ivoire & Crystal Palace)

Yacine Brahimi (Algeria & Porto)

Youcef Belaili (Algeria & Esperance)

 

 

 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.